Siku chache tu zimepita baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kutangaza kuwa waandishi wa habari hawatakuwa na uhuru wa kujiachia
basi haya huenda yakaungwa mkono hata Ruby kwani kachoshwa na magazeti
ya Udaku.
Ruby kupitia ukurasa wake wa Instagram ameposti picha ya ukurasa wa gazeti wenye headline iliyosomeka “Ruby Daladala kwake ni mwiko” baada ya kuona kichwa hicho cha habari ndiyo akaona ni vyema awape makavu wamiliki wa gazeti hilo la udaku kwa kuandika.
“Kwani jaman mkikosa vya kuandika mkatulia
mnakufaa?acheni kuandika ujinga kama huu …hili gazeti linajijua plz
tuheshimiane sana mm ni binadamu tu wakawaida hata toroli ntapanda
mkoooomeeee kuniandika uongo mmxiiiuuueeee kama sapoti nainipite tu
lakin shobo za kijinga staki …lini mmefanya interview na mm nikasema
hayo maneno?!mngemalizia kabisa basi Ruby kaburi kwake ni mwiko alafu
mje mnizikie baharini?!….huu ni ushamba mmxiiiuueee next time take care
make sure#magazeti ya kiki za kijinga sitaki”Ameandika Ruby.
No comments:
Post a Comment