Wednesday 29 March 2017

Ronaldo sio mtu mzuri!! ampiga bao Lionel Messi kwa mtonyo, Neymar amkimbiza Bale


Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameongoza kwa kuwa mwanasoka mwenye kipato zaidi kwa msimu wa 2016-17 hadi sasa.
Ronaldo tayari ameingiza kitita cha pauni milioni 75.62 na amempiga bao mpinzani wake mkubwa, Lionel Messi wa Barcelona ambaye amepata pauni milioni 66.12.
Fedha hizo zinatokana na mshahara, posho, malipo ya motisha na mikataba ya matangazo na Ronaldo anaonekana amepanda haraka baada ya kushinda Ballond'Or.
Kiungo mwingine wa Barcelona, Neymar, yeye anaonekana kumpiga bao Gareth Bale wa Madrid.

Listi hii hapa


MCHEZAJI                        TIMU                            KIPATO
Cristiano Ronaldo            Real Madrid                         Pauni 75.62m
Lionel Messi                    Barcelona                            Pauni 66.12m
Neymar                           Barcelona                            Pauni 47.97m
Gareth Bale                     Real Madrid                        Pauni 35.4m
Ezequiel Lavezzi              Hebei China                         Pauni 24.63m

No comments:

Post a Comment