Wednesday 30 September 2015

Diamond aelezea kwanini CNN walimchagua kumfanyia ‘Documentary’ kuhusu Maisha yake

Siku chache zilizopita, Kituo kikubwa cha runinga cha CNN kilikuja nchini kumfanyia ‘Documentary’ mkali wa Bongo Fleva, Nassib Abdul au Diamond Platnumz ambaye amesema maisha yake binafsi yanawavutia watu wengi na hivyo kutaka kumjua zaidi.

1mond 
Diamond akifanya mahojiano na kituo cha CCN

Akizungumza na XXL ya CloudsFm Diamond amesema ” Nafikiri maisha yangu na story yangu nzima kwa ujumla kuanzia kwenye muziki kwenye maisha na kila kitu inavutia watu kutamani kutaka kuijua mara kwa mara nafikili ndio kitu kinasaidia kuona napata followers wa nchi tofauti tofauti……”

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya

  
 

No comments:

Post a Comment