Uamuzi huo umekuja kutokana na misukosuko aliyokutana nayo baada ya kutoa wimbo wake wa ‘Viva Roma Viva’ hivi karibuni, ambao BASATA waliufungia kutokana na madai kuwa hakuna ushahidi wa vitu vilivyoimbwa kwenye wimbo huo. .
Kupitia ukurasa wake wa Facebook Roma alipost ujumbe huu siku ya Jumamosi Oct.24;
“Kesho Ndiyo Ile Tarehe Niliyowaahidi
Kuwa Nitaachia #KIBAO Changu Kipya!!!!! /
Na Sasa Naelekea #BASATA Kuwasikilizisha Kabisa Kwanza!!! Wakitoa#GO_A_HEAD Tu Basi Kesho Alfajiri #KINANUKA /
WAKIZINGUA NA MIMI NAWAZINGUA!!! /”
Kuwa Nitaachia #KIBAO Changu Kipya!!!!! /
Na Sasa Naelekea #BASATA Kuwasikilizisha Kabisa Kwanza!!! Wakitoa#GO_A_HEAD Tu Basi Kesho Alfajiri #KINANUKA /
WAKIZINGUA NA MIMI NAWAZINGUA!!! /”
Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya
No comments:
Post a Comment