Saturday 3 October 2015

Mabeste aelezea sababu za kumtumia Mke wake kama Video queen kwenye video yake mpya ‘Usiwe bubu’


besteee 

Mabeste amefunguka hilo wakati anafanya mahojiano na kipindi cha Planet Bongo cha ‘East Afrika Radio’  Amesema “Unajua director wakati anaisikiliza nyimbo akawa anataka tu shoot, alikuwa anataka niwe na mwanamke ambaye ni mke wangu, kwanza nikajaribu kutafuta nikaona sipati, nikapata wazo nikaona vitu ambavyo anasema wife yuko navyo, alafu pia ili niwe comfortable zaidi ya kile ninachokifanya, kwa sababu natakiwa ni act kama mke wangu, nikaona kwa nini efort ambayo nataka niiweke kwa mtu mwengine nisiweke wife, kwa hiyo ni kama kutoa kitu mfuko huu na kuhamishia mfuko huu”

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya

 

No comments:

Post a Comment