Saturday 3 October 2015

Bushoke: Idea ya wimbo wa ‘Mume bwege’ haikua yangu


Akihojiwa na kipindi cha Planet Bongo Bushoke amesema idea ya wimbo ilikuwa ni ya rafiki yake J Silk, lakini alitokea kuupenda hivyo akaomba wabadilishane nyimbo.

“60% ya ile nyimbo sikuianzisha mimi, aliianzisha jamaa mmoja anaitwa Juma Silk (J Silk) ile nyimbo yenyewe ilikuwa inahusu mtoto, yenyewe ilikuwa na verse moja inayosema mimi mweusi mtoto katoka mwarabu, ilipoishia pale mimi nikaipenda ile nyimbo kwa hiyo nikaendelea na ile nyimbo, na J silk kuna nyimbo yangu na mimi nikampa” Amesema Bushoke

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya

 

No comments:

Post a Comment