Friday, 14 August 2015

Audio | Q Chillah na TID wamaliza 'bifu' yao, Sikiliza interview nzima hapa

Inawezekana hukua unaamini kuwa kuna siku  jamaa hawa wawili ambao walikua wakiwakilisha ‘Top Band‘ Q Chief na Tid wasingeweza kukaa pamoja na kumaliza tofauti zao na hii imetokana na kuignia kwenye headlines sehemu mbalimbali kuwa hawako sawa,taarifa ikufikie kuwa Tid na Q Chief kwa sasa wako fresh na wanarudi pamoja kimuziki tena.

Kwenye interview ya kukumbuka album zilizopita kwenye XXL ya Clouds Fm Aug 13 waliwaita Q Chief na Tid,yamezungumzwa mengi sana kwenye interview hii ikiwemo album nyingine itakayotoka kati ya Q Chief na Tid.


Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya

No comments:

Post a Comment