Monday, 24 August 2015

Picha | Show ya Diamond na Crew yake ya Wasafi kwenye uzinduzi wa kampeni ya Urais CCM 2015

Jana 23/8/2015 ilikuwa ni uzinduzi wa kampenzi za Urais kwa mwaka wa 2015, *CCM* walifanya uzinduzi wao kwenye viwanja vya *Jangwani* ambapo waliwaalika baadhi ya wasanii ambao wapo tayari kukiunga chama hicho na kukipigia debe ili kiweze kuingia ikuli katika uchaguzi mkuu. 

*Diamond Platnumz* pamoja na kundi lake la *Wasafi* hawakuwa nyuma kwenye kuburudisha, 
Hivi ndivyo ilivyokuwa.


 


 


 

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya


No comments:

Post a Comment