Thursday 28 May 2015

Sasa Ni zamu Ya Collabo Ya Diamond Platinum'z Na Mr Flavour -(Nana) May 29


Diamond Kupitia Ukurasa wake wa Instagram ame tease kuachia video ya collabo yake na Mr Flavour kupitia BET International
 wiki hii Diamond Platnumz na madencer  wake  wamekuwa waki-tease vitu nusu nusu kuashiria kuna kitu mdundo hatari unakuja
Hatimaye Diamond Platnumz mwenyewe amepost kuwa  anaachia video na ngoma mpya aliyomshirikisha Mr. Flavour wa Nigeria iitwayo ‘Nana’.

Kupitia Instagram Diamond ameshare fomu inayoonesha kuwa ameituma video hiyo kwenye kituo cha Runinga cha kimataifa BET International. Katika fomu hiyo inaonesha kuwa video hiyo iliyoongozwa na Godfather inatarajiwa kutoa May 29, 2015.
 


 Kupitia Account Yake Ya Instagram Alipost Hivyo
 
 FOLLOW US ON

 


No comments:

Post a Comment