Vanessa Mdee anaingia kwenye orodha inayozidi kukua ya wasanii wa Bongo ambao video zao huanza kutambulishwa exclusive na TV kubwa za nje kwa mara ya kwanza.
Video yake mpya aliyoshoot Afrika Kusini ‘Hawajaui’ itatambulishwa kwa mara ya kwanza na MTV Base siku ya Jumatatu (Dec 8) kupitia ‘Spanking New’.Kupitia Instagram Vanessa ameandika:“Monday FIRST ON BASE!!!!! #Hawajui saa kumi na mbili jioni “
Aliweka Post Hii Twitter
Aliweka Post Hii Twitter
Watch my brand new video 'Hawajui' Monday 6pm EAT for the very first time on @MTVbaseAfrica pic.twitter.com/FYfg1UTndM
No comments:
Post a Comment