Hivi karibuni tulisikia Tyga akisema kuwa anashikiliwa mateka na uongozi wa Young Money na kwamba hawataki kutoa album yake. Hii imetokea tena kwa mtoto wa kufikia wa C.E.O Wa Cash Money Birdman ambaye ni rapper Lil Wayne.
Lil Wayne anasema “Birdman” hataki kutoa album yake mpya ya The Carter V na kwenye twit zake anaendelea kusema hataki tena kujihusisha na watu kama hawa.
Hizi twit zake
No comments:
Post a Comment