Msanii wa muziki wa Hip Hop hapa bongo ambaye ni Member kutoka kundi la wakacha hivi karibuni ameweza kuchaguliwa kuwania tuzo za ”NYAMBAGO AWARD ‘S ” ambazo ni Tuzo za Kanda ya Kati . katika vipengele vya Msanii bora wa mwaka na wimbo bora wa mwaka ‘Alowa’. Kura yako muhimu kuweza kumwezesha kushinda Tuzo hiyo.
Jinsiya kupiga kula andika
MSANII BORA
NYAMBAGO -KP KAMIKAZE
Tuma kwenda namba 0773448686
WIMBO BORA
NYAMBAGO -KP ALOWA
No comments:
Post a Comment