Saturday 3 October 2015

BET kuleta tamasha la ‘BET Experience’ kwa mara ya kwanza Afrika mwezi wa 12 mwaka huu


BET experience itafanyika tarehe 12 mwezi december mwaka huu Johannesburg, Afrika kusini na itahusisha vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na mitindo, muziki, vichekesho, vyakula na vitu vingine mbalimbali.

BETAFRIKA 

Kati ya wasanii watakao perfom ni pamoja na washindi wa tuzo za Grammy, staa wa R&B Maxwell pamoja na mastaa wengine wa kimataifa na Afrika ambao watatangazwa hapo badae.

Makamu wa Raisi na Mkurugenzi mtendaji wa Viacom International Media Networks ( VIMN) Afrika, Alex Okosi amesema “VIMN Africa and BET are proud to introduce this incredibly successful BET franchise to African audiences for the first time, celebrating so many rich and varied faces of the urban lifestyle experience under one roof.”

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya

 

No comments:

Post a Comment