Saturday 19 September 2015

Davido atangaza ujio wa collabo yake na Joh Makini


Ndicho kilichotokea usiku wa Sept 18 pale staa wa Nigeria, Davido alipotweet kuwa kuna collabo yake na Joh Makini inakuja.
 


Hii inakua collabo ya tatu ya Davido na wasanii wa Tanzania, Alithibitisha ujio wa collabo alioshirikishwa na Alikiba na kuweka wazi kuwa ilikua inakuja collabo nyingine na Diamond Platnumz wakati wa Tuzo za MAMA.

davido Joh

Kwa upande wa Joh Makini, Mwaka 2015 unazidi kuwa mwaka mzuri zaidi hasa baada ya video yake “Nusu Nusu” kupokelewa vizuri na kupata airtime kwenye vituo vikubwa kama ‘MTV Base’ pia kupata Collabo na wasanii wakubwa Afrika, hadi sasa tayari amekamilisha collabo na Video yake na rapper wa Afrika kusini AKA, na sasa anafanya collabo nyingine na rapper K.O ambaye anatoka Afrika kusini pia.

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya


No comments:

Post a Comment