Thursday, 20 August 2015

Nje ya wasanii walioko Coke Studio…Ne-yo pia atafanya kazi na Diamond Platnumz pamoja na Vanessa Mdee


Akizungumza katika Conference ya waandishi wa Habari Ne-yo amesema kuwa kuwa atafanya kazi na wasanii ambao wako katika Coke Studio, Pia kuna kazi ambazo zitafanyika ambazo zitakuwa ni za wasanii ambao wako nje ya Coke Studio, ametaja wasanii ambao atafanya nao kazi ambao ni Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na P Square.

http://www.hassbabytz.com/wp-content/uploads/2015/08/Capture3.png

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya


No comments:

Post a Comment