Sunday, 16 August 2015

Diamond Platnumz na Ally Kiba wakutana katika vipengele viwili katika Tuzo za Afrima 2015


Wanaoshindana katika kipengele cha Msanii bora wa mwaka

AFRIMA-13

Katika kipengele cha Msanii bora wa mwaka Ally Kiba na Diamond Platnumz wamkutana pamoja, huku kukiwa na mpambano mwingine kati ya Davido na Wizkid ambao wote ni Wanigeria.


Wanaoshindana katika kipengele cha wimbo bora wa mwaka

AFRIMA-12 
Katika kipengele cha wimbo bora wa mwaka Ally Kiba na Diamond Platnumz wamekutana katika kipengele hichi ambapo Kuna nyimbo ya Nasema Nawe ya Diamond Platnumz na Mwana ya Ally Kiba….Pia katika kipengele hiki kimewakutanisha wakali wa Nigeria Davido na Wizkid.

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya




No comments:

Post a Comment