Omary Ramsey

The Infortaiment Site

Sunday, 12 April 2015

Diamond Platnumz feat Usher Raymond!

Diamond Platnumz is unstoppable! Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia tetesi kuwa amerekodi ngoma na msanii mkubwa wa Marekani japo hakuwahi kumtaja, lakini sasa tunaweza kuwa na ubashiri sahihi!
Muimbaji huyo alikuwa akiongea kwenye kipindi cha 360 cha Clouds TV leo asubuhi ambapo aliulizwa ni msanii gani wa nje ya Afrika anayependa kufanya naye kazi.

Diamond alidai kuwa tayari msanii anayemkubali zaidi nchini Marekani ameshafanya naye kazi japo hakupenda kumtaja tena.

Aliombwa amtaje msanii mwingine tofauti na huyo na kusema wasanii watano anaowapenda zaidi nchini Marekani ni Nicki Minaj, Chris Brown na Usher Raymond na kwamba mmoja kati ya hao tayari ameshafanya naye ngoma!

Kwamujibu wa mtandao wa Bongo 5 wao wame bashiri kuwa kwakuwa inafahamika Diamond Platnumz anamkubali Usher Raymond basi inawezekana atakuwa ndiye msanii waliye fanya naye kazi hiyo.

Unaweza ku bashiri na wewe na uandike maoni yako kwa mfumo wa Blogger au facebook hapo chini.

FOLLOW US ON

FOLLOW US ON

Posted by Omary Ramsey at 10:54
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: News

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home

Pages

  • Home

Popular Posts

  • Download | Msaga sumu - Marafiki (Audio)
  • Download | Nikki Mbishi - Utamaduni (Audio)
  • Download | Madee Ft Raymond - Paulina (Audio)
  • Download | Dogo D - Siwezi Kuwa Wako (Audio)
  • Young Dee ( @youngdaresalama) kuachia track yake Mpya 18 September.
  • Download | B.O.B & Micharazo - Kazi Kwanza (Audio)
  • Download | Tunda Man Ft Matonya - Ugomvi (Audio)
  • Download | Mesen Selekta - Pressure (Audio)
  • Download | Singo - Sinenepi (Audio)
  • Download | Nikki Mbishi - Kabla Sijafa (Audio)

FIND ME ON FACEBOOK

Contact Form

Name

Email *

Message *

VISITS

Contact us

Name

Email *

Message *

FOLLOW ME

Picture Window theme. Powered by Blogger.