Baada ya kutoweka kwa mda kundi la wakali wa swagg PAH – ONE limerudi upya kwa kishindo leo nilipata mda wakuonana na vijana hawa ambao wanatarajia kukinukisha tena kwa kishindo nilianza na Ola ambaye alikuwa anamalizia kuandika track ambayo wanatarajia kufanya na msanii ambaye ni shida hapa mjini japo hawakuwa tayari kufunguka kumtaja nakubaki wakisema pole pole .
Kazi ambazo wanaweza kuziachia ni KIZUBANETA & TURN UP hizi ni
track ambazo zipo mlangoni kabisa alisema ola na mwenzake IGWEE…!
alifunguka juu ya track ya KIZUBANETA nakusema ngoma imeisha na video
imeisha ambayo video wamefanyia SOWETO nchini SOUTH AFRIKA pamoja na
L-TODO
Tulimaliza mjadala kwa PAH- ONE kusema nw wanakuja zaidi ya Ebola so
mashabiki wajiandae vizuri kwa swagg za mjini unaweza kufollow page zao
Facebook @Pah one na Instagram @Official_pahone .



No comments:
Post a Comment