Hii ndio zawadi Chelsea waliyomtunukia Didier Drogba jana usiku
Gwiji wa klabu ya Chelsea Didier Drogba jana usiku alirudi nyumbani Stamford Bridge lakini safari akicheza dhidi ya timu iliyompa umaarufu mkubwa duniani Chelsea akiitumikia Galatasary.
Katika mchezo huo wa jana ambao Chelsea walishinda 2-0 na kufuzu kucheza robo fainali ya Champions League, lakini kabla ya mchezo huo kuanza klabu ya Chelsea iliamua kumtunukia Drogba zawadi ya kiatu cha silver chenye rangi ya bluu kwa ndani. Zawadi ya kiatu aliyopewa Didier Drogba na Chelsea
No comments:
Post a Comment