Tuesday 8 September 2015

Wizkid awa msanii wa pili Afrika kufikisha followers Million 1 kwenye mtandao wa Instagram



kiidwi 

Wiki chache zilizopita, Davido alifikisha Followers Million 1 na kama shukrani kwa mashabiki yake aliamua kumlipia ada ya shule kwa mwanafunzi mmoja aliyetaka kwenda kusoma Uingereza.

Wasanii wanapopata Followers wengi kwenye mitandao ya kijamii ni ishara ya kuwa Kazi zao zinawafikia watu wengi na inaonesha wanauwezo mkubwa wa ushawishi.

Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya



No comments:

Post a Comment