Tattoo hii imegusa na kuker baadhi ya mashabiki wake waliochukulia kitendo hichi kama jambo la kijinga na hovyo.
Cooment kadha zilisema...
{ utajutia tendo hilo baad aya cocaine
uliyotumia kutoka kwenye akili yako }
na nyingine ikisema...
{ kweli ukiwa
na pesa nyimngi na huna cha kufanya utafanya mambo ya kijinga }


Jiunge Nasi na Huku Pia, Kwa Kubofya




No comments:
Post a Comment