Tuesday, 27 May 2014

Raymond - Upo Mwenyewe (Audio) coming soon


Aliewahi kushiriki na kushinda taji la mkali wa freetyle kupitia bongo fleva freestyle ikiongozwa na Fetty "Raymond" anaewakilisha Mbeya City, ambae kwa hivi sasa yuko chini ya uongozi wa Tiptop Connection, anatarajia kuachia wimbo wake mpya hivi karibuni "Upo Mwenyewe" 
Raymond licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa ku freestyle, lakini pia anauwezo mkubwa wa kuimba, kitu ambacho kinanifanya nisubiri kwa hamu ngoma hii, mana sijui kaimba au kachana...keep visiting your blog uwe wa kwanza kuisikia

No comments:

Post a Comment