Mtunis:Who's Bad ndio filamu yangu ya kufungia Mwaka 2013
Mtayarishaji na Muigizaji wa filamu Nice Mohamed ‘Mtunis’amesema kwamba
filamu yake ya Who’s Bad itakuwa kazi yake ya kufungia mwaka kwa kuzima
kazi nyingine za filamu zilizoingia pamoja na filamu hiyo ambayo inafanya
vizuri sokoni baada ya kuingia mitaani hivi karibuni.
“Kama ambavyo wengi wamenizoea ninapotoa kazi inakuwa ni bora na lazima
ikimbize sokoni, sinema yangu ya Who’s Bad itafunga mwaka kama kazi bora
nakuwa makini sana katika utengenezaji wa filamu na ndio kilichofanyika
katika filamu hiyo wasanii wamekamua sana na kuonyesho uwezo wa hali ya
juu,”anasema Nice.
Filamu ... zaidi »
No comments:
Post a Comment