Friday, 25 July 2014

Hii ndio ratiba ya Fiesta 2014 kwa Kanda ya Ziwa

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8KzWrNpsmHEjzVi4wGlJtvIouNR-KkaklciZKm-dgtqkjmNkY7ibSY7GPgXwJhSlE_BtICzJT3udSUzVAWM8vUeXS_W_2QWl4cch-gmjLDv4EtdymKwuP6crtmMkLlHpBhQ9uLxzAOBOD/s1600/FIESTA.jpg
Kama ulimiss basi ile ratiba ya tamasha la fiesta iliyotolewa hapo jana kupitia xxl, wakati mkurugenzi wa vipindi Clouds Fm bwana Sebastian maganga ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Fiesta 2014 akitiririka 
Ni kwamba kuna good mwaka huu hasa kwa sehem ambazo Clouds imesikika kwa mara ya kwanza ambapo kwa kanda ya ziwa, kwa mara ya kwanza Fiesta itatia timu mwaka huu katika wilaya ya Kahama na kwa mkoa kwa Kagera ni Bukoba.

Fiesta 2014 iliyopewa Theme ya Sambaza Upendo itaanza rasmi ndani ya Mwanza, August 09 Kirumba Stadium
ikifuatiwa na  Bukoba August 15  Kaitaba Stadium then  Kahama ndani ya Kamaha Stadium August 17
na  baada ya hapo ni Musoma  ndani ya Karume Stadium August 22
na kwa upande wa kanda ya ziwa fiesta 2014  itaishia Shinyanga mjini August 24 ndani ya Kambarage Staium
Serengeti 2014 tupo pamoja, sambaza upendo..  ni sheeeedah.
 
By omaryramsey

No comments:

Post a Comment